Thursday, February 19, 2015

>>> >>> >>>

HII NDIYO HAFLA YA KUSIMIKWA KWA KAMANDA UV CCM BWAWANI NDUGU ALLY NCHAGAHA. KWA PICHA NA MATUKIO, BOFYA HAPA

Imechapwa na: UV MAPINDUZI - 1:17 AM
Na ripota wetu


Kamanda UVCCM Bwawani Ndg. Ally Nchagaha (mwenye miwani) akiserebuka pamoja na baadhi ya viongozi UVCCM Bwawani

Haikua hafla tu bali pia sehemu ya kubadilishana mawazo hapa ni kamanda UVCCM Bwawani akihafikiana jambo na viongozi UVCCM Bwawani.

Hafla nzuri huisha kwa kumbukumbu nzuri! hii ni picha ya pamoja wakiwa wenye nyuso za furaha kamanda UVCCM Bwawani akiwa na uongozi mzima wa UVCCM Bwawani.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!...

Shirikisha

& Hoji

0 comments:

Post a Comment

Download It from Here

MonotataPx I Mbinotrix I MonotataPx I Mbinotrix